Mkuu wa chuo cha Mafunzo ya Ufugaji Nyuki Tabora, anapenda kuwatangazia wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza na wanaoendelea kuwa kila mwanafunzi anatakiwa kuripoti chuoni tarehe 3/11/2025 na sio zaidi ya tarehe 10/11/2025. Masomo yataanza rasmi tarehe 10/11/2025.