Mkuu wa chuo cha Mafunzo ya Ufugaji Nyuki Tabora, anapenda kuwatangazia wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza na wanaoendelea kuwa kila mwanafunzi anatakiwa kuripoti chuoni tarehe 3/11/2025 na sio zaidi ya tarehe 10/11/2025. Masomo yataanza rasmi tarehe 10/11/2025.
Author Archives: nyuki-tabora
WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA NA TAMISEMI KUJIUNGA NA CHUO KWA MWAKA WA MASOMO 2025/2026
Mkuu wa Chuo anawapongeza na kuwakaribisha wanafunzi wote waliochaguliwa na tamisemi kujiunga na chuo cha mafunzo ya ufugaji nyuki Tabora(BTI). Kuona majina ya wanafunzi waliochaguliwa na TAMISEMI bofya hapa
KUFUNGULIWA AWAMU YA PILI KWA DIRISHA LA MAOMBI YA NAFASI ZA MASOMO 2025/2026
Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Ufugaji Nyuki-Tabora anatangaza kufunguliwa awamu ya pili kwa dirisha la maombi ya nafasi masomo katika fani ya Ufugaji Nyuki kwa ngazi ya Astashahada na
Stashahada kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Dirisha la maombi litafungwa tarehe 19/10/2025