Mkuu wa Chuo anawapongeza na kuwakaribisha wanafunzi wote waliochaguliwa na tamisemi kujiunga na chuo cha mafunzo ya ufugaji nyuki Tabora(BTI). Kuona majina ya wanafunzi waliochaguliwa na TAMISEMI bofya hapa
Author Archives: nyuki-tabora
TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO 2025/2026
Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Ufugaji Nyuki-Tabora anatangaza nafasi za
masomo katika fani ya Ufugaji Nyuki kwa ngazi ya Astashahada na
Stashahada kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Kwa vigezo na masharti bofya hapa. Kupakua fomu ya maombi bofya hapa.