WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA NA TAMISEMI KUJIUNGA NA CHUO KWA MWAKA WA MASOMO 2025/2026

Mkuu wa Chuo anawapongeza na kuwakaribisha wanafunzi wote waliochaguliwa na tamisemi kujiunga na chuo cha mafunzo ya ufugaji nyuki Tabora(BTI). Kuona majina ya wanafunzi waliochaguliwa na TAMISEMI bofya hapa